Ulipata nafasi ya kuusikiliza wimbo mpya wa Aley Star unaitwa “Makorora” na kama bado bonyeza hapa kuusikia. Aley Star amewaletea video mpya ya wimbo huo. Video imetayarishwa na director Khalfan Khalmandro.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako
Ulipata nafasi ya kuusikiliza wimbo mpya wa Aley Star unaitwa “Makorora” na kama bado bonyeza hapa kuusikia. Aley Star amewaletea video mpya ya wimbo huo. Video imetayarishwa na director Khalfan Khalmandro.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako
Video ya wimbo mpya kutoka kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya Alpha Da Best, wimbo unaitwa “Buzuki”.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako.
Hii hapa ni video mpya ya msanii Smile The Genius, na kama hujaupata wimbo wake bonyeza hapa. Video ya wimbo huo unaitwa “Murika”, video imetayarishwa na director Creator 5.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ameachia video ya wimbo wake mpya unaitwa “Body”. Video imetayarishwa na director Earth Prince.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya DJ Waiz ameachia video ya wimbo mpya unaitwa “Yebo”.
Angalia video na utoe maoni yako.
Alatish Mabawa anawakaribisha kuangalia video ya wimbo wake mpya unaitwa “Dede” akiwa amemshirikisha Chillah. Video imetayarishwa na Kwetu studio.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako.
Baada ya kuachia wimbo mpya unaitwa “Bukheri” bonyeza hapa kama bado hujaupata, Smile TheGenius anakukaribisha kuangalia video ya wimbo huo. Video imetayarishwa na Director Adam Juma.
Angalia video na utoe maoni yako
Video ya wimbo mpya kutoka “Zenj Boy” Ison Mistari unaitwa “Mazabe” akiwa amemshirikisha G.Nako. Video imetayarishwa na director Hanscana.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako.
Baada ya kuusikiliza wimbo mpya wa Wigo Fleva unaitwa “Nipe” hii hapa ni video ya wimbo huo akiwa amemshirikisha Public na Ison Mistari. Video imetayarishwa na director Japheth.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako.
Video ya wimbo mpya kutoka kwa msanii Ally Mahaba unaitwa “Tuoane”. Video imetayarishwa na Guy G Films.
Angalia video ya wimbo huo hapo chini
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Hemedy Music ameachia video ya wimbo wake mpya unaitwa “Mama Mkwe”. Video imetayarishwa na studio za ZanziPix.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako.
Kama bado hujaupata wimbo huu mpya kutoka kwa Aley Star bonyeza hapa kuupata wimbo huo. Baada ya kuupakua wimbo mpya Aley Star anawakaribisha kuiangalia video ya wimbo huo Unaitwa “Ndi Ndi Ndi”. Video imetayarishwa na director Eddy.
Angalia video ya wimbo na utoe maoni yako.
Mwana dada Queen Coco ameachia video ya wimbo wake mpya unaitwa “Leo”. Video imetayarishwa na director Ivan.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako
Rapa wa muziki wa kizazi kipya Man Chado ameachia video ya wimbo wake mpya unaitwa “Tosha” akiwa amemshirikisha Obio. Video imetayarishwa na director Alfred Jackson.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako
Video ya wimbo mpya kutoka rapa wa muziki wa kizazi kipya Ison Mistari wimbo unaitwa “Zenji Boy”. Video imetayarishwa na studio za motion visual.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako.
Tayari umeshausikia wimbo wao mpya? kama bado bonyeza hapa. Hii hapa video ya wimbo huo mpya kutoka kwa Siti & The Band unaitwa “Nielewe”. Video imetayarishwa na director Pablo.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako
Vipaji vipya kutoka kwa vijana wadogo wanaojiita Triple R & Z wameachia video ya wimbo wao mpya unaitwa “Mom & Daddy”. Video imetayarishwa na director Eddy.
Angalia video ya wimbo huo na utoe maoni yako
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Aley Star ameachia video ya wimbo wake mpya unaitwa “Chimba” akiwa amemshirikisha Rico Single. Video imetayarishwa na director Eddy.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako
Baada ya kuachia wimbo mpya unaitwa “Usibadilike” Boy Wiz anakukaribisha kuangalia video ya wimbo huo. Video imetayarishwa na director Pozza.
Iangalie video hiyo na utoe maoni yako
Rapa wa muziki wa kizazi kipya Ison Mistari ameachia video ya wimbo wake mpya unaitwa “Monster”. Video imetayarishwa na director Maxamilyonne.
Angalia video hiyo na utoe maoni yako