Siku ya 5: Angalia picha za matukio mbalimbali katika Tamasha la ZIFF
Ikiwa zimesalia siku kadhaa kuendea mwishoni mwa tamasha la filamu za nchi za majahazi (ZIFF), kwa siku ya jana (Jumatano, Julai 12) wananchi wengi...
Picha: Ufunguzi wa Tamasha la ZIFF 2017
Siku ya Jumamosi tarehe 8 Julai, ilikuwa ni siku ya kutimiza miaka 20 ya Tamasha la Filamu za nchi za majahazi Zanzibar (ZIFF) ambapo...
Picha: Rico Single alivyotoa burudani Full Moon Party Wikiendi hii
Msanii wa muziki Rico Single aliweza kuzifurahisha nyoyo za wageni mbali mbali waliofika katika Full Moon Party iliyofanyika siku ya Jumamosi (Machi 11) katika...
Picha: Rico Single, Bob Maghrib & Batimbo walivyotoa burudani kwa wageni katika Tamasha la...
Ikiwa imebakia siku moja kuendea tamati, wasanii kutoka nchi za mbali mbali za Afrika walitoa burudani katika tamasha la Sauti za Busara kwa wageni...
Picha: DJ Waiz ashoot video ya ‘Shobo Robo’
Hatimaye msanii na mwanamitindo wa muda mrefu, DJ Waiz ameshoot video ya wimbo wake mpya 'Shobo Robo' ambayo alioshirikiana na Baby Jay na Kijukuu.
Akiongea...
Picha: Siti & The Band, Ison Mistari, Kali na Asali walivyotoa burudani katika uzinduzi...
Siku ya Jumapili (Feb .5) Ilikuwa ni usiku wa uzinduzi wa video mpya ya 'Nani Nilimkosea' ya rapa Ison Mistari.
Kiukweli watu wengi walifurahi Mapinduzi...
Picha: Rahatul-Zaman na Smile walivyotoa burudani katika uzinduzi wa ‘The Dream’
Usiku wa jana (Jan. 28) kikundi cha taarab asili cha Rahatul-Zaman na msanii wa kizazi kipya Smile, walitoa burudani katika uzinduzi wa filamu mpya...
Picha: King Majuto na Kingwendu walivyowavunja mbavu watoto Kariakoo
Ikiwa ni siku ya kusherehekea siku ya Mapinduzi ya Zanzibar, Januari 12. Wachekeshaji kutoka Tanzania Bara, King Majuto na Kingwendu Ngwendulile walitoa burudani ya...
Picha: Wasanii wa Zenji Fleva walivyopamba Mkesha wa siku ya Mapinduzi Maisara
Chama cha wasanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Zanzibar jana (Januari 11) kilitoa burudani katika mkesha wa kuadhimisha siku ya Mapinduzi ya Zanzibar...
Picha: DJ Khaled anunua jumba la kifahari la Beverly Hills $9.9 Milioni
Msanii kutokea nchini Marekani, DJ Khaled ameinunua nyumba ya kifahari ya Beverly Hills iliyokuwa ikimilikiwa na muimbaji na muigizaji maarufu Robbie Williams kwa dola...
Picha: Blue, Barnaba na Linex walivyopagawisha Zanzibar
Usiku wa kuamkia Jumamosi Disemba 3,Wasanii kutoka Dar es Salaam Mr. Blue, Barnaba na Linex walifanya onyesho la kufungia mwaka katika ukumbi wa CCM...
Picha: Penny Royal wapewa tunzo ya uchangiaji bora kwenye Taasisi ya Siti Bint Saad
Taasisi ya Siti Bint Saad hapa Zanzibar iliwakabidhi tuzo na zawadi mbali mbali kwa muekezaji wa Penny Royal kwa mchango wake mkubwa kufanikisha Ujenzi...
Picha: Teyana Taylor na Travis Scott wakava jarida la Paper
Mwanadada kutoka Marekani Teyana Taylor akiwa rapa Travis Scott wamekava katika toleo jipya la jarida la Paper.
Picha: Show ya Lady Jay Dee ‘Naamka Tena Tour’ Intebe
Wikiendi hii mwanadada na mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva Lady Jay Dee alifanya ziara yake visiwani Zanzibar ikiwa ni moja ya 'Naamka Tena'...
Picha: Tamasha la kuchangia waathirika wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera
Wasanii wa muziki wa Bongo Fleva wameibuka washindi kwa penati tano kwa nne dhidi ya wasanii wa Bongo Movie katika mechi ya hisani kwa...
Picha: Msimu mwingine wa Tamasha la Jahazi Jazz visiwani Zanzibar
Msimu mpya mwingine wa tamasha maarufu kwa muziki aina ya jazz, Jahazi Literary & Jazz Festival mwaka huu umerudi tena na wasanii mbali mbali...
Picha: Wanne Star na Michael Jackson wa Zanzibar walivyotoa burudani Nungwi
Wikiendi ilianza uzuri kwa baadhi ya kumbi za hapa visiwani ambapo vikundi na wasanii mbali mbali waliweza kutoa burudani za kila aina katika sehemu...
Picha: Kupokelewa na Kuzikwa kwa mwili wa Marehemu Aboud Jumbe
Mwili wa aliyekuwa Raisi wa awamu ya pili Zanzibar, Marehemu Aboud Jumbe amezikwa jumatatu Agosti 15 visiwani Zanzibar nyumbani kwake Migombani.
Viongozi mbali mbali walihudhuria...
Picha: Maelfu wajitokeza kuuaga mwili wa Bondia Muhammad Ali
Bondia Maarufu Muhammad Ali maelfu ya watu walijipanga barabarani ili kumuaga wakati msafara ukipita kuelekea mji wa kwao Louisville, Kentucky ambapo ndo alipo zikwa...