Mbio za mwenge wa uhuru zimeanza rasmi katika wilaya ya Mjini Magharibi katika jimbo la Chumbuni ambapo mbunge na mwakilishi wa Jimbo hilo waliweza kutoa michango yao ya fedha kwa vikundi vya wanawake wajasiriamali.
We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it.Ok